Sh 30,000

Mwandishi: Ben Mtobwa

Synopsis: 

Akiwa bado kijana mdogo, Mtukwao anatoroshwa kijijini na familia yake ili aokoe uhai wake ulio katika hatihati ya kupotelea mikononi mwa wanakijiji. Safari inamjia ghafla kama jinamizi na kumfungulia dunia mpya yenye chungu na tamu lakini chungu ni zaidi. Ni pale anapokumbuka kitu muhimu sana alichokipoteza wakati wa pilika zake za maisha, ndipo anapopata wazo la kurudi kwao ili akatengeneze mambo yake. Lakini imekwishapita miaka zaidi ya thelathini tangu aondoke kijijini. Je, familia yake ambayo ndiyo ina dhamana pekee ya kumsaidia, bado ipo? Ama ndiyo ng’ombe wa maskini hazai?

Katika kitabu chake hiki cha mwisho, Ben R Mtobwa anathibitisha kwa mara nyingine uwezo wake mkubwa wa kuitumia kalamu yake bila kubahatisha. Kinachotofautisha riwaya hii na riwaya nyingine za Ben Mtobwa, ni namna mwandishi huyo alivyohama kabisa kutoka kwenye maudhui ya kijasusi na kuchambua uhalisia wa watanzania wengi. Kutana na mhusika aliyetembea karibu kila mkoa, akionesha ama kwa maneno ama kwa matendo, uchumi, jiografia, historia pamoja na mila na desturi za eneo husika.

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description

SKU: 9789987083831

Publisher: Mkuki na Nyota

Privacy Preference Center

16
    16
    Your Cart
    Remove
    No One Is Talking About This (Hardback)
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Remove
    Finding Perfect (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Remove
    Boris Johnson (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Remove
    Hofu
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000
    Remove
    We'll Always Have Summer (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    David Mzuguno (Paperback)
    1 X Sh 65,000 = Sh 65,000
    Remove
    From Staircase to Stage (Hardback)
    1 X Sh 66,000 = Sh 66,000
    Remove
    An African History of Africa (Hardback)
    1 X Sh 92,000 = Sh 92,000
    Remove
    It Ends With Us (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Remove
    Hadzabe (Hardback)
    1 X Sh 85,000 = Sh 85,000
    Remove
    Roho Ya Paka
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000
    Remove
    The Selous in Africa (Hardback)
    1 X Sh 208,000 = Sh 208,000