Sh 25,000

Mwandishi: Ben Mtobwa 

Synopsis: 

Inspekta Kombora anaitwa katika hoteli moja jijini Dar es Salaam ambapo anaonyeshwa mwili wa msichana aliyeuawa kikatili kupita kiasi. Ngozi na nyama ya uso wake mzima na sehemu ya shingo zimeliwa na aina fulani ya sumu na kufanya sura yake ibakie kuwa fuvu la kutisha. Katika kinywa cha fuvu hilo, uliwekwa ujumbe kwa maandishi uliosomeka: Tunamtaka Joram Kiango.

Salamu zinamfikia Joram kwa namna nyingine. zikifuatiwa na patashika nzito, roho mkononi, huku watu wengi walio na wasio na hatia wakipoteza roho zao. Lakini ni roho ya Joram Kiango iliyohitajika, kwa udi na uvumba. Naye, akijua kuwa anapambana na mbogo waliojeruhiwa, alichukua tahadhari zote kutopoteza uhai mithili ya paka. Hata roho yake pia inabadilika na kuwa Roho ya Paka.

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description

SKU: 9789987083848 

Publisher: Mkuki na Nyota

Privacy Preference Center

32
    32
    Your Cart
    Remove
    The Seven Moons of Maali Almeida
    1 X Sh 51,000 = Sh 51,000
    Remove
    Pegasus (Hardback)
    1 X Sh 65,000 = Sh 65,000
    Remove
    38 Reflections on Mwalimu Nyerere
    1 X Sh 85,000 = Sh 85,000
    Remove
    Do Not Disturb (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    The Five Sorrowful Mysteries of Andy Africa
    1 X Sh 45,000 = Sh 45,000
    Remove
    The Woman in Me (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Remove
    Permanent Record (Hardback)
    1 X Sh 66,000 = Sh 66,000
    Remove
    Unbreakable (Hardback)
    1 X Sh 85,000 = Sh 85,000
    Remove
    Remove
    Parrots of White Feathers (Paperback)
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000
    Remove
    Exit West (Paperback)
    1 X Sh 27,000 = Sh 27,000
    Remove
    Endgame (Hardback)
    1 X Sh 73,000 = Sh 73,000
    Remove
    Invisible Women (Paperback)
    1 X Sh 45,000 = Sh 45,000
    Remove
    Ninth House (Paperback)
    2 X Sh 27,000 = Sh 54,000
    Remove
    Remove
    Youthquake (Paperback)
    1 X Sh 39,000 = Sh 39,000
    Remove
    American Prometheus (Paperback)
    2 X Sh 55,000 = Sh 110,000
    Remove
    Africa (Paperback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    King (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Remove
    Goodbye, Dr Banda (Hardback)
    1 X Sh 77,000 = Sh 77,000
    Remove
    The Handy Tablet Stand - Red
    1 X Sh 35,000 = Sh 35,000
    Remove
    Shake Hands With The Devil (Paperback)
    1 X Sh 55,000 = Sh 55,000
    Remove
    Mandela: A Biography (Paperback)
    1 X Sh 45,000 = Sh 45,000
    Remove
    Nightcrawling (Hardback)
    1 X Sh 56,000 = Sh 56,000
    Remove
    Nature Speaks (Hardback)
    1 X Sh 250,000 = Sh 250,000
    Remove
    Mikataba Ya Kishetani
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000
    Remove