Sh 20,000

Mwandishi: E. A. Musiba 

Synopsis: 

Mpelelezi mashuhuri wa Afrika, Mtanzania, Willy Gamba, akiwa likizoni huko Afrika Magharibi, jijini Freetown, Sierra Leone, anatumiwa ujumbe wa haraka arudi upesi nchini kwani kumetokea hujuma kubwa.

Kutokana na uzalendo wake hapotezi muda, hima anarejea nchini. Chifu wake anamweleza kuwa shehena kubwa ya silaha za kivita ambazo ni mali ya wapigania uhuru wa kusini mwa Afrika, imeibiwa bandarini, katika mazingira ya kutatanisha.

Habari hizi zinaleta utata mwingi, baadhi ya nchi zikisema ni njama za Makaburu, na nyingine zikisema ni njama za Tanzania.

Katika kiza kinene kinachozunguka suala hili, serikali ya Tanzania inamtuma Willy kuwasaka. Hapo ndipo patashika zinaanza na jiji la Dar es Salaam linakumbwa katika wimbi la msukosuko wa uhaini, usaliti, na mauaji ya kikatili…

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description
ISBN 9789987083237
Pages 194
Dimensions 198 x 129mm
Published 2018
Publisher Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Format Paperback

Privacy Preference Center

16
    16
    Your Cart
    Remove
    A Higher Loyalty (Hardcover)
    1 X Sh 80,000 = Sh 80,000
    Remove
    A Lady's Guide to Fortune-Hunting
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Remove
    The Seven Moons of Maali Almeida
    1 X Sh 51,000 = Sh 51,000
    Remove
    Hofu
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000
    Remove
    Reminders of Him (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    The Vanishing Half (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Remove
    Mandela: A Biography (Paperback)
    2 X Sh 45,000 = Sh 90,000
    Remove
    Roho Ya Paka
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000
    Remove
    Maame (Paperback)
    1 X Sh 73,000 = Sh 73,000
    Remove
    Will (Paperback)
    1 X Sh 50,000 = Sh 50,000
    Remove
    The City of Tears (Hardback)
    1 X Sh 76,000 = Sh 76,000
    Remove
    It Ends With Us (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000