Sh 80,000

Author: UONGOZI Institute & Sokoine University of Agriculture (SUA)

Synopsis: 

Ni majira ya alasiri, kiasi cha saa tisa hivi, siku ya Alhamisi, Aprili 12, 1984. Ghafla Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD – sasa TBC), redio ya taifa na pekee Tanzania Bara wakati ule, inakatisha matangazo ya vipindi vyake vya kawaida, na Wimbo wa Taifa, Mungu Ibariki Tanzania, unapigwa. Wimbo unamalizika, na sauti iliyozoeleka sana kwa wananchi, lakini zamu hi ikiwa na tulivu mkubwa, inaanza kuelezea taratibu, polepole, tena kwa kituo na majonzi makubwa, ikisema: “Ndugu wananchi, leo mnamo saa saba mchana, ndugu yetu na kijana wetu, Edward Moringe Sokoine, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alipokuwa anarudi Dar es Salaam kutoka Dodoma, gari yake ilipata ajali. Amefariki dunia.” Ghafla, siku iliyokuwa ya kawaida kabisa, watu wakiendelea na Maisha yao na kazi zao na matani yao, ukiwamo utani wa kandanda wa Simba na Yanga, ikawa siku ya msiba mkubwa. Kitabu hiki kinakusafirisha hadi kwenye eneo la ajali iliyokatisha uhai wa kiongozi huyu shupavu, na kinatoa maelezo ya mashuhuda wa ajali hiyo na hata uvumi uliosambaa baada ya kifo chake. Kwa upana wake, kitabu hiki kitakufahamisha maisha halisi ya Hayati Edward Moringe Sokoine, Waziri Mkuu wa tatu wa Tanzania; alikotokea, familia yake na uongozi wake.

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description

SKU: 978-9987-449-81-1 

Dimensions 150 × 130 mm

Privacy Preference Center

14
    14
    Your Cart
    The Secret of Secrets (Hardback) Remove
    The Secret of Secrets (Hardback)
    1 X Sh 110,000 = Sh 110,000
    Free (Paperback) Remove
    Free (Paperback)
    1 X Sh 45,000 = Sh 45,000
    The Light We Carry Remove
    The Light We Carry
    1 X Sh 75,000 = Sh 75,000
    When America Stopped Being Great (Paperback) Remove
    When America Stopped Being Great (Paperback)
    1 X Sh 46,000 = Sh 46,000
    Guinness World Records 2024 (Hardback) Remove
    Guinness World Records 2024 (Hardback)
    1 X Sh 70,000 = Sh 70,000
    Sapiens (Paperback) Remove
    Sapiens (Paperback)
    1 X Sh 48,000 = Sh 48,000
    Goodbye, Dr Banda (Hardback) Remove
    Goodbye, Dr Banda (Hardback)
    1 X Sh 77,000 = Sh 77,000
    Africana (Hardback) Remove
    Africana (Hardback)
    1 X Sh 66,000 = Sh 66,000
    King (Hardback) Remove
    King (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Maame (Paperback) Remove
    Maame (Paperback)
    1 X Sh 73,000 = Sh 73,000
    Children's Bugs Educational Box Set Remove
    Children's Bugs Educational Box Set
    1 X Sh 45,000 = Sh 45,000
    Zanzibar (Paperback) Remove
    Zanzibar (Paperback)
    1 X Sh 36,000 = Sh 36,000
    Pegasus (Hardback) Remove
    Pegasus (Hardback)
    1 X Sh 65,000 = Sh 65,000
    Mandela: A Biography (Paperback) Remove
    Mandela: A Biography (Paperback)
    1 X Sh 45,000 = Sh 45,000