Sh 25,000

Mwandishi: Ben Mtobwa 

Synopsis: 

Inspekta Kombora anaitwa katika hoteli moja jijini Dar es Salaam ambapo anaonyeshwa mwili wa msichana aliyeuawa kikatili kupita kiasi. Ngozi na nyama ya uso wake mzima na sehemu ya shingo zimeliwa na aina fulani ya sumu na kufanya sura yake ibakie kuwa fuvu la kutisha. Katika kinywa cha fuvu hilo, uliwekwa ujumbe kwa maandishi uliosomeka: Tunamtaka Joram Kiango.

Salamu zinamfikia Joram kwa namna nyingine. zikifuatiwa na patashika nzito, roho mkononi, huku watu wengi walio na wasio na hatia wakipoteza roho zao. Lakini ni roho ya Joram Kiango iliyohitajika, kwa udi na uvumba. Naye, akijua kuwa anapambana na mbogo waliojeruhiwa, alichukua tahadhari zote kutopoteza uhai mithili ya paka. Hata roho yake pia inabadilika na kuwa Roho ya Paka.

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description

SKU: 9789987083848 

Publisher: Mkuki na Nyota

Privacy Preference Center

12
    12
    Your Cart
    Remove
    Kikosi cha Kisasi
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000
    Remove
    The Tattooist of Auschwitz (Paperback)
    1 X Sh 42,000 = Sh 42,000
    Remove
    A State at Any Cost (Paperback)
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Remove
    The Deserts of Africa (Hardback)
    1 X Sh 116,000 = Sh 116,000
    Remove
    Hopeless (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Girls Only! (Paperback)
    1 X Sh 24,000 = Sh 24,000
    Remove
    Maame (Paperback)
    1 X Sh 73,000 = Sh 73,000
    Remove
    Remove
    Kiguu Na Njia
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    From Staircase to Stage (Hardback)
    1 X Sh 66,000 = Sh 66,000
    Remove
    Midnight's Children (Paperback)
    1 X Sh 42,000 = Sh 42,000
    Remove
    Uchu
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000