Sh 25,000

Mwandishi: Ben Mtobwa 

Synopsis: 

Inspekta Kombora anaitwa katika hoteli moja jijini Dar es Salaam ambapo anaonyeshwa mwili wa msichana aliyeuawa kikatili kupita kiasi. Ngozi na nyama ya uso wake mzima na sehemu ya shingo zimeliwa na aina fulani ya sumu na kufanya sura yake ibakie kuwa fuvu la kutisha. Katika kinywa cha fuvu hilo, uliwekwa ujumbe kwa maandishi uliosomeka: Tunamtaka Joram Kiango.

Salamu zinamfikia Joram kwa namna nyingine. zikifuatiwa na patashika nzito, roho mkononi, huku watu wengi walio na wasio na hatia wakipoteza roho zao. Lakini ni roho ya Joram Kiango iliyohitajika, kwa udi na uvumba. Naye, akijua kuwa anapambana na mbogo waliojeruhiwa, alichukua tahadhari zote kutopoteza uhai mithili ya paka. Hata roho yake pia inabadilika na kuwa Roho ya Paka.

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description

SKU: 9789987083848 

Publisher: Mkuki na Nyota

Privacy Preference Center

25
    25
    Your Cart
    Remove
    The Seven Husbands of Evelyn Hugo (Paperback)
    1 X Sh 35,000 = Sh 35,000
    Remove
    Nightcrawling (Hardback)
    1 X Sh 56,000 = Sh 56,000
    Remove
    Find Me (Paperback)
    1 X Sh 29,000 = Sh 29,000
    Remove
    Kufa na Kupona
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000
    Remove
    Unbreakable (Hardback)
    1 X Sh 85,000 = Sh 85,000
    Remove
    Africa (Paperback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    Finding Freedom (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Remove
    Meet the Georgians (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Remove
    Remove
    Parrots of White Feathers (Paperback)
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000
    Remove
    All Your Perfects (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Hopeless (Paperback)
    2 X Sh 33,000 = Sh 66,000
    Remove
    Hofu
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000
    Remove
    Book Lover's Reading Light - Alice
    1 X Sh 34,000 = Sh 34,000
    Remove
    From Third World to First (Paperback)
    1 X Sh 50,000 = Sh 50,000
    Remove
    Losing Hope (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Believe Me (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    Reminders of Him (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Uchu
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000
    Remove
    John Kiyaya (Hardback)
    1 X Sh 65,000 = Sh 65,000