Sh 25,000

Mwandishi: A.E. Musiba 

Synopsis: 

“Umesikia George Foreman amerudi ulingoni na kutwaa ubingwa?” Chifu aliuliza.

“Sikusikia tu, nimeona kwenye Televisheni,” Willy Gamba alijibu.

“Basi nataka na wewe urudi ulingoni” Chifu alisema kwa kutabasamu huku akipaka mkate siagi.

Baada ya kufunga ndoa na mpenzi wa maisha yake, Willy Gamba anakuwa mtu mpya asiyetaka kujihusisha tena na purukushani zinazoweza kuhatarisha maisha yake na familia yake. Maamuzi yake hayo yanakosa nguvu pale anapolazimika kuwatolea uvivu viongozi wetu wa Kiafrika ambao wametawaliwa na tamaa ya kubaki kwenye madaraka ili wajilimbikizie utajiri, huku Waafrika wakizidi kudidimia katika dimbwi la umaskini na migogoro ya kisiasa.

Safari hii Willy Gamba anajikuta Rwanda, akitafuta ukweli wa vipi mamilioni ya wananchi waliuawa na wananchi wenzao huku Afrika na dunia wakiangalia bila kutoka msaada wowote.

Uzito wa suala hili unampelekea Willy Gamba kupambana na usaliti na ujahili wa kimataifa ambao uko tayari kuendeleza utawala wa mabavu ili tu maslahi ya watu wachache wenye ubinafsi yaweze kulindwa.

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description

SKU: 9789987084746 

Publisher: Mkuki na Nyota

Privacy Preference Center

35
    35
    Your Cart
    Remove
    The Judge's List (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Heads You Win (Hardback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    Nightcrawling (Hardback)
    2 X Sh 56,000 = Sh 112,000
    Remove
    Black and Great (Paperback)
    1 X Sh 56,000 = Sh 56,000
    Remove
    Africana (Hardback)
    1 X Sh 66,000 = Sh 66,000
    Remove
    The Spanish Love Deception (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    A History of Burning (Hardback)
    1 X Sh 67,000 = Sh 67,000
    Remove
    A State at Any Cost (Paperback)
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Remove
    Lessons in Chemistry
    1 X Sh 50,000 = Sh 50,000
    Remove
    Exit West (Paperback)
    2 X Sh 27,000 = Sh 54,000
    Remove
    Finding Me: A Memoir (Hardback)
    1 X Sh 75,000 = Sh 75,000
    Remove
    Remove
    Kikosi cha Kisasi
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000
    Remove
    Slammed (Paperback)
    2 X Sh 33,000 = Sh 66,000
    Remove
    Ninth House (Paperback)
    1 X Sh 27,000 = Sh 27,000
    Remove
    Black and British (Paperback)
    1 X Sh 45,000 = Sh 45,000
    Remove
    The Testaments (Hardback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    No One Is Talking About This (Hardback)
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Remove
    Uchu
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000
    Remove
    Remove
    Remove
    The Maasai: Tribe of Warriors (Paperback)
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000
    Remove
    Hopeless (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    David Mzuguno (Paperback)
    1 X Sh 65,000 = Sh 65,000
    Remove
    Africa (Paperback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    The Seven Moons of Maali Almeida
    1 X Sh 51,000 = Sh 51,000
    Remove
    Unbreakable (Hardback)
    1 X Sh 85,000 = Sh 85,000
    Remove
    Mama's Magical Kanga (Hardback)
    1 X Sh 40,000 = Sh 40,000
    Remove
    38 Reflections on Mwalimu Nyerere
    1 X Sh 85,000 = Sh 85,000
    Remove
    Unravel Me (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    Nature Speaks (Hardback)
    1 X Sh 250,000 = Sh 250,000
    Remove
    Kufa na Kupona
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000