Sh 25,000

Mwandishi: A.E. Musiba 

Synopsis: 

“Umesikia George Foreman amerudi ulingoni na kutwaa ubingwa?” Chifu aliuliza.

“Sikusikia tu, nimeona kwenye Televisheni,” Willy Gamba alijibu.

“Basi nataka na wewe urudi ulingoni” Chifu alisema kwa kutabasamu huku akipaka mkate siagi.

Baada ya kufunga ndoa na mpenzi wa maisha yake, Willy Gamba anakuwa mtu mpya asiyetaka kujihusisha tena na purukushani zinazoweza kuhatarisha maisha yake na familia yake. Maamuzi yake hayo yanakosa nguvu pale anapolazimika kuwatolea uvivu viongozi wetu wa Kiafrika ambao wametawaliwa na tamaa ya kubaki kwenye madaraka ili wajilimbikizie utajiri, huku Waafrika wakizidi kudidimia katika dimbwi la umaskini na migogoro ya kisiasa.

Safari hii Willy Gamba anajikuta Rwanda, akitafuta ukweli wa vipi mamilioni ya wananchi waliuawa na wananchi wenzao huku Afrika na dunia wakiangalia bila kutoka msaada wowote.

Uzito wa suala hili unampelekea Willy Gamba kupambana na usaliti na ujahili wa kimataifa ambao uko tayari kuendeleza utawala wa mabavu ili tu maslahi ya watu wachache wenye ubinafsi yaweze kulindwa.

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description

SKU: 9789987084746 

Publisher: Mkuki na Nyota

Privacy Preference Center

52
    52
    Your Cart
    Remove
    John Kiyaya (Hardback)
    1 X Sh 65,000 = Sh 65,000
    Remove
    An African History of Africa (Hardback)
    1 X Sh 92,000 = Sh 92,000
    Remove
    Bewilderment
    2 X Sh 80,000 = Sh 160,000
    Remove
    Moleskine Plain Notebook, Soft Cover - Black
    1 X Sh 69,000 = Sh 69,000
    Remove
    Finding Perfect (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Remove
    American Prometheus (Paperback)
    1 X Sh 55,000 = Sh 55,000
    Remove
    Africana (Hardback)
    1 X Sh 66,000 = Sh 66,000
    Remove
    On Palestine (Paperback)
    1 X Sh 36,000 = Sh 36,000
    Remove
    Permanent Record (Hardback)
    1 X Sh 66,000 = Sh 66,000
    Remove
    It's Not Summer Without You (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Njama
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000
    Remove
    The Testaments (Hardback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    A Lady's Guide to Fortune-Hunting
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Remove
    Remove
    Reminders of Him (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    The Handy Tablet Stand - Grey
    1 X Sh 35,000 = Sh 35,000
    Remove
    Believe Me (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    Remove
    Africa (Paperback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    Africa: The Fashion Continent (Hardback)
    2 X Sh 199,000 = Sh 398,000
    Remove
    All Your Perfects (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    African Ceremonies Concise Ed. (Hardback)
    2 X Sh 1,040,000 = Sh 2,080,000
    Remove
    Remove
    The Judge's List (Paperback)
    2 X Sh 33,000 = Sh 66,000
    Remove
    Kikosi cha Kisasi
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000
    Remove
    The Plot to Save South Africa (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Remove
    The Selous in Africa (Hardback)
    2 X Sh 208,000 = Sh 416,000
    Remove
    Lessons in Chemistry
    1 X Sh 50,000 = Sh 50,000
    Remove
    The Seven Moons of Maali Almeida
    1 X Sh 51,000 = Sh 51,000
    Remove
    The Woman in Me (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Remove
    Endgame (Hardback)
    1 X Sh 73,000 = Sh 73,000
    Remove
    Afterlives (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    The Everyday Hero Manifesto (Paperback)
    2 X Sh 60,000 = Sh 120,000
    Remove
    New Moon (Paperback)
    1 X Sh 40,000 = Sh 40,000
    Remove
    Kufa na Kupona
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000
    Remove
    Atlas of the Earth (Hardback)
    1 X Sh 53,000 = Sh 53,000
    Remove
    The Street Beneath My Feet (Hardback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    Imagine Me (Paperback)
    1 X Sh 29,000 = Sh 29,000
    Remove
    Uchu
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000
    Remove
    Remove
    Kiguu Na Njia
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    How Women Rise (Paperback)
    1 X Sh 43,000 = Sh 43,000
    Remove
    Hadzabe (Hardback)
    1 X Sh 85,000 = Sh 85,000
    Remove
    Jungle Doctor Pulls a Leg (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    David Mzuguno (Paperback)
    1 X Sh 65,000 = Sh 65,000