Sh 80,000

Author: UONGOZI Institute & Sokoine University of Agriculture (SUA)

Synopsis: 

Ni majira ya alasiri, kiasi cha saa tisa hivi, siku ya Alhamisi, Aprili 12, 1984. Ghafla Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD – sasa TBC), redio ya taifa na pekee Tanzania Bara wakati ule, inakatisha matangazo ya vipindi vyake vya kawaida, na Wimbo wa Taifa, Mungu Ibariki Tanzania, unapigwa. Wimbo unamalizika, na sauti iliyozoeleka sana kwa wananchi, lakini zamu hi ikiwa na tulivu mkubwa, inaanza kuelezea taratibu, polepole, tena kwa kituo na majonzi makubwa, ikisema: “Ndugu wananchi, leo mnamo saa saba mchana, ndugu yetu na kijana wetu, Edward Moringe Sokoine, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alipokuwa anarudi Dar es Salaam kutoka Dodoma, gari yake ilipata ajali. Amefariki dunia.” Ghafla, siku iliyokuwa ya kawaida kabisa, watu wakiendelea na Maisha yao na kazi zao na matani yao, ukiwamo utani wa kandanda wa Simba na Yanga, ikawa siku ya msiba mkubwa. Kitabu hiki kinakusafirisha hadi kwenye eneo la ajali iliyokatisha uhai wa kiongozi huyu shupavu, na kinatoa maelezo ya mashuhuda wa ajali hiyo na hata uvumi uliosambaa baada ya kifo chake. Kwa upana wake, kitabu hiki kitakufahamisha maisha halisi ya Hayati Edward Moringe Sokoine, Waziri Mkuu wa tatu wa Tanzania; alikotokea, familia yake na uongozi wake.

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description

SKU: 978-9987-449-81-1 

Dimensions 150 × 130 mm

Privacy Preference Center

26
    26
    Your Cart
    Alfie and the Angel of Lost Things (Hardback) Remove
    Alfie and the Angel of Lost Things (Hardback)
    2 X Sh 43,000 = Sh 86,000
    Boris Johnson (Hardback) Remove
    Boris Johnson (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    The Selous in Africa (Hardback) Remove
    The Selous in Africa (Hardback)
    1 X Sh 208,000 = Sh 208,000
    Ma’am Darling (Paperback) Remove
    Ma’am Darling (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    It Starts with Us (Paperback) Remove
    It Starts with Us (Paperback)
    1 X Sh 39,000 = Sh 39,000
    Jungle Doctor Pulls a Leg (Paperback) Remove
    Jungle Doctor Pulls a Leg (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Coq au Vin - The Nanette Hayes Mysteries (Paperback) Remove
    Shake Hands With The Devil (Paperback) Remove
    Shake Hands With The Devil (Paperback)
    1 X Sh 55,000 = Sh 55,000
    Ugly Love (Paperback) Remove
    Ugly Love (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Youthquake (Paperback) Remove
    Youthquake (Paperback)
    1 X Sh 39,000 = Sh 39,000
    Finding Freedom (Paperback) Remove
    Finding Freedom (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    All Your Perfects (Paperback) Remove
    All Your Perfects (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Losing Hope (Paperback) Remove
    Losing Hope (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Kiguu Na Njia Remove
    Kiguu Na Njia
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Siege: Trump Under Fire (Hardback) Remove
    Siege: Trump Under Fire (Hardback)
    1 X Sh 83,000 = Sh 83,000
    Nightcrawling (Hardback) Remove
    Nightcrawling (Hardback)
    1 X Sh 56,000 = Sh 56,000
    The Prodigal Daughter (Paperback) Remove
    The Prodigal Daughter (Paperback)
    1 X Sh 45,000 = Sh 45,000
    The Woman in Me (Hardback) Remove
    The Woman in Me (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Endgame (Hardback) Remove
    Endgame (Hardback)
    1 X Sh 73,000 = Sh 73,000
    Tea With Ms. Tanzania: A Novel (Paperback) Remove
    Tea With Ms. Tanzania: A Novel (Paperback)
    1 X Sh 56,000 = Sh 56,000
    A State at Any Cost (Paperback) Remove
    A State at Any Cost (Paperback)
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Zanzibar (Paperback) Remove
    Zanzibar (Paperback)
    1 X Sh 36,000 = Sh 36,000
    Damascus Station (Paperback) Remove
    Damascus Station (Paperback)
    1 X Sh 40,000 = Sh 40,000
    Discover Planets - Wonders of Learning Box Set Remove
    Children's Bugs Educational Box Set Remove
    Children's Bugs Educational Box Set
    1 X Sh 45,000 = Sh 45,000