Sh 25,000

Mwandishi: E. A. Musiba 

Synopsis: 

Ni nani hasa anayewaua viongozi wa wapigania uhuru? Kwa nini wengi wa viongozi hawa wameuawa jijini Kinshasa kuliko mahali pengine popote Afrika?

Ili kukomesha vitendo hivi vya kijahili, Umoja wa Nchi Huru za Kiafrika (OAU) inakata shauri kuwasaka wauwaji hawa na kuwafagilia mbali. Willy Gamba, mpelelezi maarufu wa Afrika, anachaguliwa kuongoza kikosi cha wapelelezi wa Kiafrika kuwasaka.

Kinshasa, jiji linalosifika kwa starehe zake linageuka uwanja wa mapambano kati ya vijana wapiganaji shupavu wakiongozwa na Willy Gamba, na wapinga mapinduzi wakiongozwa na Kaburu Pierre Simonard.

Willy pamoja na kikosi chake wanalivamia jiji la Kinshasa kuhakikisha wanakomesha mauaji hayo. Ndipo patashika ambalo halijawahi kutokea barani Afrika linapoanza na kuliwasha moto jiji hili…

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description
ISBN 9789987083183
Pages 234
Dimensions 198 x 129mm
Published 2018
Publisher Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Format Paperback

Privacy Preference Center

16
    16
    Your Cart
    Remove
    Kiguu Na Njia
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    Nightcrawling (Hardback)
    1 X Sh 56,000 = Sh 56,000
    Remove
    Remove
    The Art of War: The Ancient Classic (Hardback)
    2 X Sh 60,000 = Sh 120,000
    Remove
    Lessons in Chemistry
    1 X Sh 50,000 = Sh 50,000
    Remove
    Ninth House (Paperback)
    1 X Sh 27,000 = Sh 27,000
    Remove
    A Lady's Guide to Fortune-Hunting
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Remove
    The Testaments (Hardback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    The Seven Moons of Maali Almeida
    1 X Sh 51,000 = Sh 51,000
    Remove
    An African History of Africa (Hardback)
    1 X Sh 92,000 = Sh 92,000
    Remove
    Slammed (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Remove
    Oil and Gas in Tanzania
    1 X Sh 36,000 = Sh 36,000
    Remove