Sh 25,000

Mwandishi: E. A. Musiba 

Synopsis: 

Ni nani hasa anayewaua viongozi wa wapigania uhuru? Kwa nini wengi wa viongozi hawa wameuawa jijini Kinshasa kuliko mahali pengine popote Afrika?

Ili kukomesha vitendo hivi vya kijahili, Umoja wa Nchi Huru za Kiafrika (OAU) inakata shauri kuwasaka wauwaji hawa na kuwafagilia mbali. Willy Gamba, mpelelezi maarufu wa Afrika, anachaguliwa kuongoza kikosi cha wapelelezi wa Kiafrika kuwasaka.

Kinshasa, jiji linalosifika kwa starehe zake linageuka uwanja wa mapambano kati ya vijana wapiganaji shupavu wakiongozwa na Willy Gamba, na wapinga mapinduzi wakiongozwa na Kaburu Pierre Simonard.

Willy pamoja na kikosi chake wanalivamia jiji la Kinshasa kuhakikisha wanakomesha mauaji hayo. Ndipo patashika ambalo halijawahi kutokea barani Afrika linapoanza na kuliwasha moto jiji hili…

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description
ISBN 9789987083183
Pages 234
Dimensions 198 x 129mm
Published 2018
Publisher Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Format Paperback

Privacy Preference Center

10
    10
    Your Cart
    Finding Perfect (Paperback) Remove
    Finding Perfect (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Hopeless (Paperback) Remove
    Hopeless (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Coq au Vin - The Nanette Hayes Mysteries (Paperback) Remove
    It Starts with Us (Paperback) Remove
    It Starts with Us (Paperback)
    1 X Sh 39,000 = Sh 39,000
    Ugly Love (Paperback) Remove
    Ugly Love (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Slammed (Paperback) Remove
    Slammed (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Hadzabe (Hardback) Remove
    Hadzabe (Hardback)
    1 X Sh 85,000 = Sh 85,000