Sh 25,000

Mwandishi: E. A. Musiba 

Synopsis: 

Ni nani hasa anayewaua viongozi wa wapigania uhuru? Kwa nini wengi wa viongozi hawa wameuawa jijini Kinshasa kuliko mahali pengine popote Afrika?

Ili kukomesha vitendo hivi vya kijahili, Umoja wa Nchi Huru za Kiafrika (OAU) inakata shauri kuwasaka wauwaji hawa na kuwafagilia mbali. Willy Gamba, mpelelezi maarufu wa Afrika, anachaguliwa kuongoza kikosi cha wapelelezi wa Kiafrika kuwasaka.

Kinshasa, jiji linalosifika kwa starehe zake linageuka uwanja wa mapambano kati ya vijana wapiganaji shupavu wakiongozwa na Willy Gamba, na wapinga mapinduzi wakiongozwa na Kaburu Pierre Simonard.

Willy pamoja na kikosi chake wanalivamia jiji la Kinshasa kuhakikisha wanakomesha mauaji hayo. Ndipo patashika ambalo halijawahi kutokea barani Afrika linapoanza na kuliwasha moto jiji hili…

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description
ISBN 9789987083183
Pages 234
Dimensions 198 x 129mm
Published 2018
Publisher Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Format Paperback

Privacy Preference Center

12
    12
    Your Cart
    Remove
    Remove
    Slammed (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Finding Perfect (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Restore Me (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    Human 2.0 (Hardback)
    1 X Sh 56,000 = Sh 56,000
    Remove
    Atlas of the Earth (Hardback)
    1 X Sh 53,000 = Sh 53,000
    Remove
    Mama's Magical Kanga (Hardback)
    1 X Sh 40,000 = Sh 40,000
    Remove
    Reminders of Him (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Bewilderment
    1 X Sh 80,000 = Sh 80,000
    Remove
    Through the Fairy Door (Hardback)
    1 X Sh 50,000 = Sh 50,000
    Remove
    An African History of Africa (Hardback)
    1 X Sh 92,000 = Sh 92,000