Sh 20,000

Mwandishi: A.E. Musiba

Synopsis: 

Nyaraka za siri zimeibiwa kutoka ofisi moja ya wapigania uhuru jijini Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania inaingiwa na hofu kuwa nyaraka hizo zitaishia mikononi mwa adui na kuhatarisha maisha ya watu wengi wasio na hatia.

Kutokana na ishara maalumu inasadikiwa kuwa majasusi hao wamekimbilia jijini Nairobi. Mpelelezi nguli, Willy Gamba, anapewa kazi ya kuwatafuta popote walipo, kwa gharama yoyote na kuwapokonya nyaraka hizo. Kazi hiyo lazima ifanyike haraka kabla hawajaziuza kwa adui.

Muda unazidi kwenda na mapambano ya kuwasaka majasusi hao yanazidi kuwa makali na hakuna huruma. Pande zote zinapoteza watu muhimu. Wapelelezi, majasusi na raia wengine wasio na hatia wanauwawa.

Wakati wote huo Willy Gamba anaendelea na upelelezi wake mgumu na ndipo anapokutana na mrembo Lina. Lakini mrembo huyu yuko upande gani? Na Lulu je? Je Chifu yupo sahihi anapomwonya Willy Gamba asimwamini mwanamke yeyote mrembo?

Willy Gamba na wenzake wanabanwa vilivyo lakini hawana ruhusa ya kushindwa. Maisha ya wengi yanawategemea. Ni mapambano ya kufa na kupona, lakini wanawashindaje maadui wakali kama hawa?

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description
ISBN 9789987083138
Pages 118
Dimensions 198 x 129mm
Published 2018
Publisher Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Format Paperback

Privacy Preference Center

79
    79
    Your Cart
    Remove
    The Judge's List (Paperback)
    2 X Sh 33,000 = Sh 66,000
    Remove
    Finding Perfect (Paperback)
    2 X Sh 33,000 = Sh 66,000
    Remove
    Exit West (Paperback)
    1 X Sh 27,000 = Sh 27,000
    Remove
    Mandela: A Biography (Paperback)
    2 X Sh 45,000 = Sh 90,000
    Remove
    The Vanishing Half (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Remove
    Njama
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000
    Remove
    When America Stopped Being Great (Paperback)
    1 X Sh 46,000 = Sh 46,000
    Remove
    All That It Ever Meant (Hardback)
    1 X Sh 50,000 = Sh 50,000
    Remove
    The Deserts of Africa (Hardback)
    1 X Sh 116,000 = Sh 116,000
    Remove
    The Seven Moons of Maali Almeida
    3 X Sh 51,000 = Sh 153,000
    Remove
    A Lady's Guide to Fortune-Hunting
    3 X Sh 49,000 = Sh 147,000
    Remove
    The Maasai: Tribe of Warriors (Paperback)
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000
    Remove
    Human 2.0 (Hardback)
    1 X Sh 56,000 = Sh 56,000
    Remove
    Eclipse (Paperback)
    1 X Sh 40,000 = Sh 40,000
    Remove
    Ugly Love (Paperback)
    2 X Sh 30,000 = Sh 60,000
    Remove
    The Bullet That Missed (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    A Promised Land (Hardback)
    1 X Sh 85,000 = Sh 85,000
    Remove
    Africa Fashion (Hardback)
    2 X Sh 99,000 = Sh 198,000
    Remove
    Worthy (Hardback)
    1 X Sh 58,000 = Sh 58,000
    Remove
    Remove
    Africa: The Fashion Continent (Hardback)
    1 X Sh 199,000 = Sh 199,000
    Remove
    It Starts with Us (Paperback)
    2 X Sh 39,000 = Sh 78,000
    Remove
    Remove
    A History of Burning (Hardback)
    2 X Sh 67,000 = Sh 134,000
    Remove
    Remove
    Reminders of Him (Paperback)
    2 X Sh 33,000 = Sh 66,000
    Remove
    Heads You Win (Hardback)
    2 X Sh 60,000 = Sh 120,000
    Remove
    MBS (Paperback)
    2 X Sh 68,000 = Sh 136,000
    Remove
    Hopeless (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    All Your Perfects (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    One Of Us Is Lying (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    How Europe Underdeveloped Africa (Paperback)
    1 X Sh 90,000 = Sh 90,000
    Remove
    Fast Like a Girl (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Remove
    Imagine Me (Paperback)
    1 X Sh 29,000 = Sh 29,000
    Remove
    Slammed (Paperback)
    2 X Sh 33,000 = Sh 66,000
    Remove
    Bewilderment
    1 X Sh 80,000 = Sh 80,000
    Remove
    Ninth House (Paperback)
    2 X Sh 27,000 = Sh 54,000
    Remove
    Devil Dogs (Paperback)
    1 X Sh 40,000 = Sh 40,000
    Remove
    A Higher Loyalty (Hardcover)
    1 X Sh 80,000 = Sh 80,000
    Remove
    Through the Fairy Door (Hardback)
    1 X Sh 50,000 = Sh 50,000
    Remove
    It Ends With Us (Paperback)
    2 X Sh 33,000 = Sh 66,000
    Remove
    Goodbye, Dr Banda (Hardback)
    1 X Sh 77,000 = Sh 77,000
    Remove
    The Woman in Me (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Remove
    Restore Me (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    Novelist as a Vocation (Hardback)
    1 X Sh 70,000 = Sh 70,000
    Remove
    Permanent Record (Hardback)
    1 X Sh 66,000 = Sh 66,000
    Remove
    Kiguu Na Njia
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    Hadzabe (Hardback)
    1 X Sh 85,000 = Sh 85,000
    Remove
    The Plot to Save South Africa (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Remove
    How Not to Age (Hardback)
    3 X Sh 88,000 = Sh 264,000
    Remove
    The Leader Who Had No Title (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    The Alchemist (Paperback)
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000
    Remove
    The Testaments (Hardback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    Remove
    No One Is Talking About This (Hardback)
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Remove
    An African History of Africa (Hardback)
    1 X Sh 92,000 = Sh 92,000
    Remove
    Kikosi cha Kisasi
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000
    Remove
    The Street Beneath My Feet (Hardback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    Meet the Georgians (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Black and Great (Paperback)
    1 X Sh 56,000 = Sh 56,000
    Remove
    Remove
    Moral Compass (Hardback)
    1 X Sh 43,000 = Sh 43,000
    Remove
    A Spy by Nature (Paperback)
    1 X Sh 34,000 = Sh 34,000
    Remove
    Jungle Doctor Pulls a Leg (Paperback)
    2 X Sh 30,000 = Sh 60,000
    Remove
    Of This Our Country (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    Earth and Sky (Hardback)
    1 X Sh 51,000 = Sh 51,000
    Remove
    Lessons in Chemistry
    2 X Sh 50,000 = Sh 100,000
    Remove
    Hofu
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000
    Remove
    A Spell of Good Things (Paperback)
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Remove
    Do Not Disturb (Paperback)
    1 X Sh 45,000 = Sh 45,000
    Remove
    John Kiyaya (Hardback)
    1 X Sh 65,000 = Sh 65,000