Sh 20,000

Mwandishi: E. A. Musiba 

Synopsis: 

Mpelelezi mashuhuri wa Afrika, Mtanzania, Willy Gamba, akiwa likizoni huko Afrika Magharibi, jijini Freetown, Sierra Leone, anatumiwa ujumbe wa haraka arudi upesi nchini kwani kumetokea hujuma kubwa.

Kutokana na uzalendo wake hapotezi muda, hima anarejea nchini. Chifu wake anamweleza kuwa shehena kubwa ya silaha za kivita ambazo ni mali ya wapigania uhuru wa kusini mwa Afrika, imeibiwa bandarini, katika mazingira ya kutatanisha.

Habari hizi zinaleta utata mwingi, baadhi ya nchi zikisema ni njama za Makaburu, na nyingine zikisema ni njama za Tanzania.

Katika kiza kinene kinachozunguka suala hili, serikali ya Tanzania inamtuma Willy kuwasaka. Hapo ndipo patashika zinaanza na jiji la Dar es Salaam linakumbwa katika wimbi la msukosuko wa uhaini, usaliti, na mauaji ya kikatili…

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description
ISBN 9789987083237
Pages 194
Dimensions 198 x 129mm
Published 2018
Publisher Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Format Paperback

Privacy Preference Center

9
    9
    Your Cart
    Shoe Dog (Paperback) Remove
    Shoe Dog (Paperback)
    1 X Sh 43,000 = Sh 43,000
    Sunrise on the Reaping - The Hunger Games (Hardback) Remove
    Hopeless (Paperback) Remove
    Hopeless (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    All Your Perfects (Paperback) Remove
    All Your Perfects (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Earth and Sky (Hardback) Remove
    Earth and Sky (Hardback)
    1 X Sh 51,000 = Sh 51,000
    Atlas of the Earth (Hardback) Remove
    Atlas of the Earth (Hardback)
    1 X Sh 53,000 = Sh 53,000
    The Light We Carry Remove
    The Light We Carry
    1 X Sh 75,000 = Sh 75,000
    Unravel Me (Paperback) Remove
    Unravel Me (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Africonomics (Hardback) Remove
    Africonomics (Hardback)
    1 X Sh 65,000 = Sh 65,000