Sh 20,000

Mwandishi: E. A. Musiba 

Synopsis: 

Mpelelezi mashuhuri wa Afrika, Mtanzania, Willy Gamba, akiwa likizoni huko Afrika Magharibi, jijini Freetown, Sierra Leone, anatumiwa ujumbe wa haraka arudi upesi nchini kwani kumetokea hujuma kubwa.

Kutokana na uzalendo wake hapotezi muda, hima anarejea nchini. Chifu wake anamweleza kuwa shehena kubwa ya silaha za kivita ambazo ni mali ya wapigania uhuru wa kusini mwa Afrika, imeibiwa bandarini, katika mazingira ya kutatanisha.

Habari hizi zinaleta utata mwingi, baadhi ya nchi zikisema ni njama za Makaburu, na nyingine zikisema ni njama za Tanzania.

Katika kiza kinene kinachozunguka suala hili, serikali ya Tanzania inamtuma Willy kuwasaka. Hapo ndipo patashika zinaanza na jiji la Dar es Salaam linakumbwa katika wimbi la msukosuko wa uhaini, usaliti, na mauaji ya kikatili…

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description
ISBN 9789987083237
Pages 194
Dimensions 198 x 129mm
Published 2018
Publisher Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Format Paperback

Privacy Preference Center

30
    30
    Your Cart
    Remove
    The Seven Moons of Maali Almeida
    1 X Sh 51,000 = Sh 51,000
    Remove
    Pegasus (Hardback)
    1 X Sh 65,000 = Sh 65,000
    Remove
    38 Reflections on Mwalimu Nyerere
    1 X Sh 85,000 = Sh 85,000
    Remove
    Do Not Disturb (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    The Five Sorrowful Mysteries of Andy Africa
    1 X Sh 45,000 = Sh 45,000
    Remove
    The Woman in Me (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Remove
    Permanent Record (Hardback)
    1 X Sh 66,000 = Sh 66,000
    Remove
    Unbreakable (Hardback)
    1 X Sh 85,000 = Sh 85,000
    Remove
    Remove
    Parrots of White Feathers (Paperback)
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000
    Remove
    Exit West (Paperback)
    1 X Sh 27,000 = Sh 27,000
    Remove
    Endgame (Hardback)
    1 X Sh 73,000 = Sh 73,000
    Remove
    Invisible Women (Paperback)
    1 X Sh 45,000 = Sh 45,000
    Remove
    Ninth House (Paperback)
    2 X Sh 27,000 = Sh 54,000
    Remove
    Remove
    Youthquake (Paperback)
    1 X Sh 39,000 = Sh 39,000
    Remove
    American Prometheus (Paperback)
    2 X Sh 55,000 = Sh 110,000
    Remove
    Africa (Paperback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    King (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Remove
    Goodbye, Dr Banda (Hardback)
    1 X Sh 77,000 = Sh 77,000
    Remove
    The Handy Tablet Stand - Red
    1 X Sh 35,000 = Sh 35,000
    Remove
    Shake Hands With The Devil (Paperback)
    1 X Sh 55,000 = Sh 55,000
    Remove
    Mandela: A Biography (Paperback)
    1 X Sh 45,000 = Sh 45,000
    Remove
    Nightcrawling (Hardback)
    1 X Sh 56,000 = Sh 56,000
    Remove
    Nature Speaks (Hardback)
    1 X Sh 250,000 = Sh 250,000