Sh 20,000

Mwandishi: A.E. Musiba

Synopsis: 

Nyaraka za siri zimeibiwa kutoka ofisi moja ya wapigania uhuru jijini Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania inaingiwa na hofu kuwa nyaraka hizo zitaishia mikononi mwa adui na kuhatarisha maisha ya watu wengi wasio na hatia.

Kutokana na ishara maalumu inasadikiwa kuwa majasusi hao wamekimbilia jijini Nairobi. Mpelelezi nguli, Willy Gamba, anapewa kazi ya kuwatafuta popote walipo, kwa gharama yoyote na kuwapokonya nyaraka hizo. Kazi hiyo lazima ifanyike haraka kabla hawajaziuza kwa adui.

Muda unazidi kwenda na mapambano ya kuwasaka majasusi hao yanazidi kuwa makali na hakuna huruma. Pande zote zinapoteza watu muhimu. Wapelelezi, majasusi na raia wengine wasio na hatia wanauwawa.

Wakati wote huo Willy Gamba anaendelea na upelelezi wake mgumu na ndipo anapokutana na mrembo Lina. Lakini mrembo huyu yuko upande gani? Na Lulu je? Je Chifu yupo sahihi anapomwonya Willy Gamba asimwamini mwanamke yeyote mrembo?

Willy Gamba na wenzake wanabanwa vilivyo lakini hawana ruhusa ya kushindwa. Maisha ya wengi yanawategemea. Ni mapambano ya kufa na kupona, lakini wanawashindaje maadui wakali kama hawa?

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description
ISBN 9789987083138
Pages 118
Dimensions 198 x 129mm
Published 2018
Publisher Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Format Paperback

Privacy Preference Center

28
    28
    Your Cart
    Remove
    The Judge's List (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Heads You Win (Hardback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    Nightcrawling (Hardback)
    1 X Sh 56,000 = Sh 56,000
    Remove
    Black and Great (Paperback)
    1 X Sh 56,000 = Sh 56,000
    Remove
    Africana (Hardback)
    1 X Sh 66,000 = Sh 66,000
    Remove
    The Spanish Love Deception (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    A History of Burning (Hardback)
    1 X Sh 67,000 = Sh 67,000
    Remove
    A State at Any Cost (Paperback)
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Remove
    Lessons in Chemistry
    1 X Sh 50,000 = Sh 50,000
    Remove
    Exit West (Paperback)
    1 X Sh 27,000 = Sh 27,000
    Remove
    Finding Me: A Memoir (Hardback)
    1 X Sh 75,000 = Sh 75,000
    Remove
    Remove
    Kikosi cha Kisasi
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000
    Remove
    Slammed (Paperback)
    2 X Sh 33,000 = Sh 66,000
    Remove
    Ninth House (Paperback)
    1 X Sh 27,000 = Sh 27,000
    Remove
    Black and British (Paperback)
    1 X Sh 45,000 = Sh 45,000
    Remove
    The Testaments (Hardback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    No One Is Talking About This (Hardback)
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Remove
    Uchu
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000
    Remove
    Remove
    Remove
    The Maasai: Tribe of Warriors (Paperback)
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000
    Remove
    Hopeless (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    David Mzuguno (Paperback)
    1 X Sh 65,000 = Sh 65,000
    Remove
    Africa (Paperback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000