Sh 20,000

Mwandishi: A.E. Musiba

Synopsis: 

Nyaraka za siri zimeibiwa kutoka ofisi moja ya wapigania uhuru jijini Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania inaingiwa na hofu kuwa nyaraka hizo zitaishia mikononi mwa adui na kuhatarisha maisha ya watu wengi wasio na hatia.

Kutokana na ishara maalumu inasadikiwa kuwa majasusi hao wamekimbilia jijini Nairobi. Mpelelezi nguli, Willy Gamba, anapewa kazi ya kuwatafuta popote walipo, kwa gharama yoyote na kuwapokonya nyaraka hizo. Kazi hiyo lazima ifanyike haraka kabla hawajaziuza kwa adui.

Muda unazidi kwenda na mapambano ya kuwasaka majasusi hao yanazidi kuwa makali na hakuna huruma. Pande zote zinapoteza watu muhimu. Wapelelezi, majasusi na raia wengine wasio na hatia wanauwawa.

Wakati wote huo Willy Gamba anaendelea na upelelezi wake mgumu na ndipo anapokutana na mrembo Lina. Lakini mrembo huyu yuko upande gani? Na Lulu je? Je Chifu yupo sahihi anapomwonya Willy Gamba asimwamini mwanamke yeyote mrembo?

Willy Gamba na wenzake wanabanwa vilivyo lakini hawana ruhusa ya kushindwa. Maisha ya wengi yanawategemea. Ni mapambano ya kufa na kupona, lakini wanawashindaje maadui wakali kama hawa?

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description
ISBN 9789987083138
Pages 118
Dimensions 198 x 129mm
Published 2018
Publisher Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Format Paperback

Privacy Preference Center

25
    25
    Your Cart
    Remove
    John Kiyaya (Hardback)
    1 X Sh 65,000 = Sh 65,000
    Remove
    An African History of Africa (Hardback)
    1 X Sh 92,000 = Sh 92,000
    Remove
    Bewilderment
    1 X Sh 80,000 = Sh 80,000
    Remove
    Moleskine Plain Notebook, Soft Cover - Black
    1 X Sh 69,000 = Sh 69,000
    Remove
    Finding Perfect (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Remove
    American Prometheus (Paperback)
    1 X Sh 55,000 = Sh 55,000
    Remove
    Africana (Hardback)
    1 X Sh 66,000 = Sh 66,000
    Remove
    On Palestine (Paperback)
    1 X Sh 36,000 = Sh 36,000
    Remove
    Permanent Record (Hardback)
    1 X Sh 66,000 = Sh 66,000
    Remove
    It's Not Summer Without You (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Njama
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000
    Remove
    The Testaments (Hardback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    A Lady's Guide to Fortune-Hunting
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Remove
    Remove
    Reminders of Him (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    The Handy Tablet Stand - Grey
    1 X Sh 35,000 = Sh 35,000
    Remove
    Believe Me (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    Remove
    Africa (Paperback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    Africa: The Fashion Continent (Hardback)
    1 X Sh 199,000 = Sh 199,000
    Remove
    All Your Perfects (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    African Ceremonies Concise Ed. (Hardback)
    1 X Sh 1,040,000 = Sh 1,040,000