Sh 20,000

Mwandishi: E. A. Musiba 

Synopsis: 

Mpelelezi mashuhuri wa Afrika, Mtanzania, Willy Gamba, akiwa likizoni huko Afrika Magharibi, jijini Freetown, Sierra Leone, anatumiwa ujumbe wa haraka arudi upesi nchini kwani kumetokea hujuma kubwa.

Kutokana na uzalendo wake hapotezi muda, hima anarejea nchini. Chifu wake anamweleza kuwa shehena kubwa ya silaha za kivita ambazo ni mali ya wapigania uhuru wa kusini mwa Afrika, imeibiwa bandarini, katika mazingira ya kutatanisha.

Habari hizi zinaleta utata mwingi, baadhi ya nchi zikisema ni njama za Makaburu, na nyingine zikisema ni njama za Tanzania.

Katika kiza kinene kinachozunguka suala hili, serikali ya Tanzania inamtuma Willy kuwasaka. Hapo ndipo patashika zinaanza na jiji la Dar es Salaam linakumbwa katika wimbi la msukosuko wa uhaini, usaliti, na mauaji ya kikatili…

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description
ISBN 9789987083237
Pages 194
Dimensions 198 x 129mm
Published 2018
Publisher Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Format Paperback

Privacy Preference Center

31
    31
    Your Cart
    Remove
    Ninth House (Paperback)
    1 X Sh 27,000 = Sh 27,000
    Remove
    Endgame (Hardback)
    1 X Sh 73,000 = Sh 73,000
    Remove
    Africa Fashion (Hardback)
    1 X Sh 99,000 = Sh 99,000
    Remove
    Jungle Doctor Pulls a Leg (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    Exit West (Paperback)
    1 X Sh 27,000 = Sh 27,000
    Remove
    A Lady's Guide to Fortune-Hunting
    2 X Sh 49,000 = Sh 98,000
    Remove
    King Of Shadows (Paperback)
    1 X Sh 27,000 = Sh 27,000
    Remove
    Nature Speaks (Hardback)
    1 X Sh 250,000 = Sh 250,000
    Remove
    Finding Perfect (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Hopeless (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    A Higher Loyalty (Hardcover)
    1 X Sh 80,000 = Sh 80,000
    Remove
    The Testaments (Hardback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    The Vanishing Half (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Remove
    Strategy: A History (Hardback)
    2 X Sh 75,000 = Sh 150,000
    Remove
    Finding Freedom (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Let Love Have the Last Word (Paperback)
    1 X Sh 40,000 = Sh 40,000
    Remove
    Believe Me (Paperback)
    2 X Sh 30,000 = Sh 60,000
    Remove
    Meet the Georgians (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    African Ceremonies Concise Ed. (Hardback)
    1 X Sh 1,040,000 = Sh 1,040,000
    Remove
    Goodbye, Dr Banda (Hardback)
    2 X Sh 77,000 = Sh 154,000
    Remove
    No One Is Talking About This (Hardback)
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Remove
    When America Stopped Being Great (Paperback)
    1 X Sh 46,000 = Sh 46,000
    Remove
    The Seven Moons of Maali Almeida
    1 X Sh 51,000 = Sh 51,000
    Remove
    Great Circle (Hardback)
    1 X Sh 78,000 = Sh 78,000
    Remove
    Kiguu Na Njia
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    The Woman in Me (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Remove