Sh 20,000

Mwandishi: E. A. Musiba 

Synopsis: 

Mpelelezi mashuhuri wa Afrika, Mtanzania, Willy Gamba, akiwa likizoni huko Afrika Magharibi, jijini Freetown, Sierra Leone, anatumiwa ujumbe wa haraka arudi upesi nchini kwani kumetokea hujuma kubwa.

Kutokana na uzalendo wake hapotezi muda, hima anarejea nchini. Chifu wake anamweleza kuwa shehena kubwa ya silaha za kivita ambazo ni mali ya wapigania uhuru wa kusini mwa Afrika, imeibiwa bandarini, katika mazingira ya kutatanisha.

Habari hizi zinaleta utata mwingi, baadhi ya nchi zikisema ni njama za Makaburu, na nyingine zikisema ni njama za Tanzania.

Katika kiza kinene kinachozunguka suala hili, serikali ya Tanzania inamtuma Willy kuwasaka. Hapo ndipo patashika zinaanza na jiji la Dar es Salaam linakumbwa katika wimbi la msukosuko wa uhaini, usaliti, na mauaji ya kikatili…

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description
ISBN 9789987083237
Pages 194
Dimensions 198 x 129mm
Published 2018
Publisher Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Format Paperback

Privacy Preference Center

19
    19
    Your Cart
    Remove
    A State at Any Cost (Paperback)
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Remove
    A Lady's Guide to Fortune-Hunting
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Remove
    Lessons in Chemistry
    1 X Sh 50,000 = Sh 50,000
    Remove
    The City of Tears (Hardback)
    1 X Sh 76,000 = Sh 76,000
    Remove
    Twisted Love (Paperback)
    1 X Sh 35,000 = Sh 35,000
    Remove
    No One Is Talking About This (Hardback)
    1 X Sh 49,000 = Sh 49,000
    Remove
    Mandela: A Biography (Paperback)
    1 X Sh 45,000 = Sh 45,000
    Remove
    Goodbye, Dr Banda (Hardback)
    1 X Sh 77,000 = Sh 77,000
    Remove
    Youthquake (Paperback)
    2 X Sh 39,000 = Sh 78,000
    Remove
    From Third World to First (Paperback)
    1 X Sh 50,000 = Sh 50,000
    Remove
    The Woman in Me (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Remove
    The Light We Carry
    2 X Sh 75,000 = Sh 150,000
    Remove
    American Prometheus (Paperback)
    1 X Sh 55,000 = Sh 55,000
    Remove
    Unbreakable (Hardback)
    1 X Sh 85,000 = Sh 85,000
    Remove
    Alfie and the Angel of Lost Things (Hardback)
    1 X Sh 43,000 = Sh 43,000
    Remove
    African Ceremonies Concise Ed. (Hardback)
    1 X Sh 1,040,000 = Sh 1,040,000