Sh 25,000

Mwandishi: Ben Mtobwa 

Synopsis: 

Inspekta Kombora anaitwa katika hoteli moja jijini Dar es Salaam ambapo anaonyeshwa mwili wa msichana aliyeuawa kikatili kupita kiasi. Ngozi na nyama ya uso wake mzima na sehemu ya shingo zimeliwa na aina fulani ya sumu na kufanya sura yake ibakie kuwa fuvu la kutisha. Katika kinywa cha fuvu hilo, uliwekwa ujumbe kwa maandishi uliosomeka: Tunamtaka Joram Kiango.

Salamu zinamfikia Joram kwa namna nyingine. zikifuatiwa na patashika nzito, roho mkononi, huku watu wengi walio na wasio na hatia wakipoteza roho zao. Lakini ni roho ya Joram Kiango iliyohitajika, kwa udi na uvumba. Naye, akijua kuwa anapambana na mbogo waliojeruhiwa, alichukua tahadhari zote kutopoteza uhai mithili ya paka. Hata roho yake pia inabadilika na kuwa Roho ya Paka.

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description

SKU: 9789987083848 

Publisher: Mkuki na Nyota

Privacy Preference Center

23
    23
    Your Cart
    Remove
    Mandela: A Biography (Paperback)
    1 X Sh 45,000 = Sh 45,000
    Remove
    The Vanishing Half (Paperback)
    2 X Sh 33,000 = Sh 66,000
    Remove
    Ninth House (Paperback)
    2 X Sh 27,000 = Sh 54,000
    Remove
    Remove
    Of This Our Country (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    It Ends With Us (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    MBS (Paperback)
    1 X Sh 68,000 = Sh 68,000
    Remove
    Slammed (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    The Plot to Save South Africa (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Remove
    Remove
    Kiguu Na Njia
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    Remove
    Finding Perfect (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Conflict (Hardcover)
    1 X Sh 90,000 = Sh 90,000
    Remove
    American Prometheus (Paperback)
    1 X Sh 55,000 = Sh 55,000
    Remove
    Youthquake (Paperback)
    1 X Sh 39,000 = Sh 39,000
    Remove
    Heads You Win (Hardback)
    2 X Sh 60,000 = Sh 120,000
    Remove
    Meet the Georgians (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    The Judge's List (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Jungle Doctor Pulls a Leg (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    The Deserts of Africa (Hardback)
    1 X Sh 116,000 = Sh 116,000