Sh 20,000

Mwandishi: E. A. Musiba 

Synopsis: 

Mpelelezi mashuhuri wa Afrika, Mtanzania, Willy Gamba, akiwa likizoni huko Afrika Magharibi, jijini Freetown, Sierra Leone, anatumiwa ujumbe wa haraka arudi upesi nchini kwani kumetokea hujuma kubwa.

Kutokana na uzalendo wake hapotezi muda, hima anarejea nchini. Chifu wake anamweleza kuwa shehena kubwa ya silaha za kivita ambazo ni mali ya wapigania uhuru wa kusini mwa Afrika, imeibiwa bandarini, katika mazingira ya kutatanisha.

Habari hizi zinaleta utata mwingi, baadhi ya nchi zikisema ni njama za Makaburu, na nyingine zikisema ni njama za Tanzania.

Katika kiza kinene kinachozunguka suala hili, serikali ya Tanzania inamtuma Willy kuwasaka. Hapo ndipo patashika zinaanza na jiji la Dar es Salaam linakumbwa katika wimbi la msukosuko wa uhaini, usaliti, na mauaji ya kikatili…

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description
ISBN 9789987083237
Pages 194
Dimensions 198 x 129mm
Published 2018
Publisher Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Format Paperback

Privacy Preference Center

15
    15
    Your Cart
    Remove
    The Lights of Pointe-Noire (Paperback)
    1 X Sh 40,000 = Sh 40,000
    Remove
    Will (Paperback)
    1 X Sh 50,000 = Sh 50,000
    Remove
    Boris Johnson (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Remove
    Devil Dogs (Paperback)
    2 X Sh 40,000 = Sh 80,000
    Remove
    Sapiens (Paperback)
    1 X Sh 48,000 = Sh 48,000
    Remove
    Losing Hope (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Slammed (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Remove
    David Mzuguno (Paperback)
    2 X Sh 65,000 = Sh 130,000
    Remove
    Exit West (Paperback)
    1 X Sh 27,000 = Sh 27,000
    Remove
    38 Reflections on Mwalimu Nyerere
    2 X Sh 85,000 = Sh 170,000
    Remove
    Remove
    Remove
    Africana (Hardback)
    1 X Sh 66,000 = Sh 66,000