Sh 20,000

Mwandishi: E. A. Musiba 

Synopsis: 

Mpelelezi mashuhuri wa Afrika, Mtanzania, Willy Gamba, akiwa likizoni huko Afrika Magharibi, jijini Freetown, Sierra Leone, anatumiwa ujumbe wa haraka arudi upesi nchini kwani kumetokea hujuma kubwa.

Kutokana na uzalendo wake hapotezi muda, hima anarejea nchini. Chifu wake anamweleza kuwa shehena kubwa ya silaha za kivita ambazo ni mali ya wapigania uhuru wa kusini mwa Afrika, imeibiwa bandarini, katika mazingira ya kutatanisha.

Habari hizi zinaleta utata mwingi, baadhi ya nchi zikisema ni njama za Makaburu, na nyingine zikisema ni njama za Tanzania.

Katika kiza kinene kinachozunguka suala hili, serikali ya Tanzania inamtuma Willy kuwasaka. Hapo ndipo patashika zinaanza na jiji la Dar es Salaam linakumbwa katika wimbi la msukosuko wa uhaini, usaliti, na mauaji ya kikatili…

TZS
  • TZS
  • USD
  • GBP

Description
ISBN 9789987083237
Pages 194
Dimensions 198 x 129mm
Published 2018
Publisher Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Format Paperback

Privacy Preference Center

34
    34
    Your Cart
    Remove
    The Seven Husbands of Evelyn Hugo (Paperback)
    1 X Sh 35,000 = Sh 35,000
    Remove
    Nightcrawling (Hardback)
    1 X Sh 56,000 = Sh 56,000
    Remove
    Find Me (Paperback)
    1 X Sh 29,000 = Sh 29,000
    Remove
    Kufa na Kupona
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000
    Remove
    Unbreakable (Hardback)
    1 X Sh 85,000 = Sh 85,000
    Remove
    Africa (Paperback)
    1 X Sh 60,000 = Sh 60,000
    Remove
    Finding Freedom (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Remove
    Meet the Georgians (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Remove
    Remove
    Parrots of White Feathers (Paperback)
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000
    Remove
    All Your Perfects (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Hopeless (Paperback)
    3 X Sh 33,000 = Sh 99,000
    Remove
    Hofu
    1 X Sh 20,000 = Sh 20,000
    Remove
    Book Lover's Reading Light - Alice
    1 X Sh 34,000 = Sh 34,000
    Remove
    From Third World to First (Paperback)
    1 X Sh 50,000 = Sh 50,000
    Remove
    Losing Hope (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Believe Me (Paperback)
    1 X Sh 30,000 = Sh 30,000
    Remove
    Reminders of Him (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Uchu
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000
    Remove
    John Kiyaya (Hardback)
    1 X Sh 65,000 = Sh 65,000
    Remove
    Finding Perfect (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Spare
    1 X Sh 85,000 = Sh 85,000
    Remove
    Remove
    We Hunt the Flame (Paperback)
    1 X Sh 33,000 = Sh 33,000
    Remove
    Boris Johnson (Hardback)
    1 X Sh 82,000 = Sh 82,000
    Remove
    Mama's Magical Kanga (Hardback)
    1 X Sh 40,000 = Sh 40,000
    Remove
    MBS (Paperback)
    1 X Sh 68,000 = Sh 68,000
    Remove
    Kikosi cha Kisasi
    1 X Sh 25,000 = Sh 25,000